Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 22:4 - Swahili Revised Union Version

4 Nitamwita BWANA astahiliye kusifiwa; Hivyo nitaokoka na adui zangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Namwita Mwenyezi-Mungu astahiliye sifa anisaidie, nami naokolewa kutoka kwa adui zangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Namwita Mwenyezi-Mungu astahiliye sifa anisaidie, nami naokolewa kutoka kwa adui zangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Namwita Mwenyezi-Mungu astahiliye sifa anisaidie, nami naokolewa kutoka kwa adui zangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 “Ninamwita Mwenyezi Mungu, anayestahili kusifiwa, nami ninaokolewa kutoka kwa adui zangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Ninamwita bwana, anayestahili kusifiwa, nami ninaokolewa kutoka kwa adui zangu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Nitamwita BWANA astahiliye kusifiwa; Hivyo nitaokoka na adui zangu.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 22:4
20 Marejeleo ya Msalaba  

Nao walipoanza kuimba na kusifu, BWANA akaweka waviziao juu ya Waamoni, na Moabu, na wa mlima Seiri, waliokuja kushambulia Yuda; nao wakapigwa.


Ndipo Walawi, Yeshua na Kadmieli, na Bani, na Hashabneya, na Sherebia, na Hodia, na Shebania, na Pethahia, wakasema, Simameni, mkamhimidi BWANA, Mungu wenu, tangu milele na hata milele. Na lihimidiwe jina lako tukufu, lililotukuka kuliko baraka zote na sifa zote.


Nani awezaye kuyanena matendo makuu ya BWANA, Au kuzihubiri sifa zake zote?


Nitakipokea kikombe cha wokovu; Na kulitangaza jina la BWANA;


Nitakutolea dhabihu ya kushukuru; Na kulitangaza jina la BWANA;


Kwa maana amenitegea sikio lake, Kwa hiyo nitamwita siku zangu zote.


Nikaliitia jina la BWANA. Ee BWANA, nakuomba sana, Uniokoe nafsi yangu.


Namwita BWANA astahiliye kusifiwa, Hivyo nitaokoka na adui zangu.


Maskini huyu aliita, BWANA akasikia, Akamwokoa na taabu zake zote.


Bwana ndiye aliye mkuu, Na mwenye kusifiwa sana. Katika mji wa Mungu wetu, Katika mlima wake mtakatifu.


Uniite siku ya mateso; Nitakuokoa, nawe utanitukuza.


Nami nitamwita Mungu, Na BWANA ataniokoa;


Ndipo adui zangu watarudi nyuma siku ile niitapo. Neno hili najua kuwa MUNGU yu upande wangu;


Imbeni utukufu wa jina lake, Tukuzeni sifa zake.


Kwa kuwa BWANA ni mkuu mwenye kusifiwa sana. Na wa kuhofiwa kuliko miungu yote.


kwa kuwa, Kila atakayeliitia Jina la Bwana ataokoka.


Umestahili wewe, Bwana wetu na Mungu wetu, kuupokea utukufu na heshima na uweza; kwa kuwa wewe ndiwe uliyeviumba vitu vyote, na kwa sababu ya mapenzi yako vilikuwako, navyo vikaumbwa.


wakisema kwa sauti kuu, Astahili Mwana-kondoo aliyechinjwa, kuupokea uweza na utajiri na hekima na nguvu na heshima na utukufu na baraka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo