2 Samueli 21:6 - Swahili Revised Union Version6 basi, na tutolewe watu saba katika wanawe, nasi tutawatundika mbele za BWANA katika Gibeoni, katika mlima wa BWANA. Mfalme akasema, Nitawatoa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Basi, tukabidhi watu saba kati ya wanawe wa kiume, nasi tuwanyonge mbele ya Mwenyezi-Mungu mlimani Gibea, kwa Shauli aliyeteuliwa na Mwenyezi-Mungu.” Mfalme akasema, “Nitawakabidhi kwenu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Basi, tukabidhi watu saba kati ya wanawe wa kiume, nasi tuwanyonge mbele ya Mwenyezi-Mungu mlimani Gibea, kwa Shauli aliyeteuliwa na Mwenyezi-Mungu.” Mfalme akasema, “Nitawakabidhi kwenu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Basi, tukabidhi watu saba kati ya wanawe wa kiume, nasi tuwanyonge mbele ya Mwenyezi-Mungu mlimani Gibea, kwa Shauli aliyeteuliwa na Mwenyezi-Mungu.” Mfalme akasema, “Nitawakabidhi kwenu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 tupatieni wazao wake saba wa kiume, tuwaue hadharani mbele za Mwenyezi Mungu huko Gibea ya Sauli, aliyekuwa amechaguliwa na Mwenyezi Mungu.” Basi mfalme akasema, “Nitawakabidhi kwenu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 tupatieni wazao wake saba wa kiume tuwaue hadharani mbele za bwana huko Gibea ya Sauli, aliyekuwa amechaguliwa na bwana.” Basi mfalme akasema, “Nitawakabidhi kwenu.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 basi, na tutolewe watu saba katika wanawe, nasi tutawatundika mbele za BWANA katika Gibeoni, katika mlima wa BWANA. Mfalme akasema, Nitawatoa. Tazama sura |
Ndipo Samweli akatwaa kichupa cha mafuta, akayamimina kichwani pake, akambusu, akasema, Je! BWANA hakukutia mafuta [uwe mkuu juu ya watu wake Israeli? Nawe utamiliki watu wa BWANA, na kuwaokoa kutoka kwa mikono ya adui zao; kisha hii itakuwa ishara kwako ya kuwa BWANA amekutia mafuta] uwe mkuu juu ya urithi wake.