2 Samueli 21:21 - Swahili Revised Union Version21 Naye huyo alipowatukana Israeli, ndipo Yonathani, mwana wa Shimei, nduguye Daudi, akamwua. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Alipowadhihaki Waisraeli, Yonathani mwana wa Shimei, nduguye Daudi, alimuua. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Alipowadhihaki Waisraeli, Yonathani mwana wa Shimei, nduguye Daudi, alimuua. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Alipowadhihaki Waisraeli, Yonathani mwana wa Shimei, nduguye Daudi, alimuua. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Alipowadhihaki Israeli, Yonathani mwana wa Shimea, nduguye Daudi, akamuua. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Alipowadhihaki Israeli, Yonathani mwana wa Shimea, nduguye Daudi, akamuua. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI21 Naye huyo alipowatukana Israeli, ndipo Yonathani, mwana wa Shimei, nduguye Daudi, akamwua. Tazama sura |