Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 19:2 - Swahili Revised Union Version

2 Na kushinda kwao vitani siku ile kukageuzwa kuwa maombolezo kwa watu wote; maana watu walisikia siku ile ya kwamba, Mfalme anahuzunika kwa ajili ya mwanawe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Kwa hiyo, ushindi wa siku hiyo uligeuzwa kuwa maombolezo kwa watu wote, waliposikia kuwa mfalme anamwombolezea Absalomu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Kwa hiyo, ushindi wa siku hiyo uligeuzwa kuwa maombolezo kwa watu wote, waliposikia kuwa mfalme anamwombolezea Absalomu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Kwa hiyo, ushindi wa siku hiyo uligeuzwa kuwa maombolezo kwa watu wote, waliposikia kuwa mfalme anamwombolezea Absalomu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Kwa jeshi lote, ushindi wa siku ile ukageuka kuwa maombolezo, kwa sababu siku ile vikosi vilisikia ikisemwa, “Mfalme anahuzunika kwa ajili ya mwanawe.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Kwa jeshi lote, ushindi wa siku ile ukageuka kuwa maombolezo, kwa sababu siku ile vikosi vilisikia ikisemwa, “Mfalme anahuzunika kwa ajili ya mwanawe.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Na kushinda kwao vitani siku ile kukageuzwa kuwa maombolezo kwa watu wote; maana watu walisikia siku ile ya kwamba, Mfalme anahuzunika kwa ajili ya mwanawe.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 19:2
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Yoabu, mwana wa Seruya, akatambua ya kuwa moyo wa mfalme unamwelekea Absalomu.


Kisha Yoabu akaambiwa, Angalia, mfalme anamlilia Absalomu na kumwombolezea.


Watu wakajificha siku ile, wakaingia mjini kama vile watu waonao fedheha wajifichavyo, hapo wakimbiapo vitani.


Kuna uhai katika nuru ya uso wa mfalme, Na fadhili zake ni kama wingu la masika.


Ghadhabu ya mfalme ni kama ngurumo ya simba; Bali hisani yake kama umande juu ya majani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo