2 Samueli 12:14 - Swahili Revised Union Version14 Lakini, kwa kuwa kwa tendo hili umewapa adui za BWANA nafasi kubwa ya kukufuru, mtoto atakayezaliwa kwako hakika atakufa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Hata hivyo, kwa kuwa kwa tendo lako umemdharau kabisa Mwenyezi-Mungu, mtoto wako atakufa.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Hata hivyo, kwa kuwa kwa tendo lako umemdharau kabisa Mwenyezi-Mungu, mtoto wako atakufa.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Hata hivyo, kwa kuwa kwa tendo lako umemdharau kabisa Mwenyezi-Mungu, mtoto wako atakufa.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Lakini kwa sababu kwa kufanya hili umefanya adui za Mwenyezi Mungu kuonesha dharau kabisa, mwana atakayezaliwa kwako atakufa.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Lakini kwa sababu kwa kufanya hili umefanya adui za bwana kuonyesha dharau kabisa, mwana atakayezaliwa kwako atakufa.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI14 Lakini, kwa kuwa kwa tendo hili umewapa adui za BWANA nafasi kubwa ya kukufuru, mtoto atakayezaliwa kwako hakika atakufa. Tazama sura |