2 Samueli 12:13 - Swahili Revised Union Version13 Daudi akamwambia Nathani, Nimemfanyia BWANA dhambi. Nathani akamwambia Daudi, BWANA naye ameiondoa dhambi yako; hutakufa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Basi, Daudi akamwambia Nathani, “Nimetenda dhambi dhidi ya Mwenyezi-Mungu.” Nathani akamwambia, “Mwenyezi-Mungu amekusamehe dhambi yako, nawe hutakufa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Basi, Daudi akamwambia Nathani, “Nimetenda dhambi dhidi ya Mwenyezi-Mungu.” Nathani akamwambia, “Mwenyezi-Mungu amekusamehe dhambi yako, nawe hutakufa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Basi, Daudi akamwambia Nathani, “Nimetenda dhambi dhidi ya Mwenyezi-Mungu.” Nathani akamwambia, “Mwenyezi-Mungu amekusamehe dhambi yako, nawe hutakufa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Ndipo Daudi akamjibu Nathani, “Nimefanya dhambi dhidi ya Mwenyezi Mungu.” Nathani akamjibu, “Mwenyezi Mungu amekuondolea dhambi yako. Hutakufa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Ndipo Daudi akamjibu Nathani, “Nimefanya dhambi dhidi ya bwana.” Nathani akamjibu, “bwana amekuondolea dhambi yako. Hutakufa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI13 Daudi akamwambia Nathani, Nimemfanyia BWANA dhambi. Nathani akamwambia Daudi, BWANA naye ameiondoa dhambi yako; hutakufa. Tazama sura |