Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




2 Samueli 12:12 - Swahili Revised Union Version

12 Maana wewe ulifanya jambo lile kwa siri; bali mimi nitalifanya jambo hili mbele ya Israeli wote na hadharani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Wewe ulifanya jambo hilo kwa siri, lakini mimi nitayafanya haya mbele ya Waisraeli wote hadharani.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Wewe ulifanya jambo hilo kwa siri, lakini mimi nitayafanya haya mbele ya Waisraeli wote hadharani.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Wewe ulifanya jambo hilo kwa siri, lakini mimi nitayafanya haya mbele ya Waisraeli wote hadharani.’”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Ulifanya kwa siri, lakini nitalifanya jambo hili wakati wa mchana mwangavu mbele ya Israeli yote.’ ”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Ulifanya kwa siri, lakini nitalifanya jambo hili wakati wa mchana mwangavu mbele ya Israeli yote.’ ”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

12 Maana wewe ulifanya jambo lile kwa siri; bali mimi nitalifanya jambo hili mbele ya Israeli wote na hadharani.

Tazama sura Nakili




2 Samueli 12:12
7 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wakamtandikia Absalomu hema juu ya nyumba darini; naye Absalomu akaingia kwa masuria ya babaye machoni pa Israeli wote.


Ndipo hapo mke wangu na asage kwa mwingine, Na wengine na wainame juu yake.


Hapana hofu ya giza kuu, mahali wawezapo kujificha watendao udhalimu.


Kwa maana Mungu ataleta hukumuni kila kazi, pamoja na kila neno la siri, likiwa jema au likiwa baya.


Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake, hata ajapo Bwana; ambaye atayamulika yaliyositirika katika giza, na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo kila mtu atakapoipata sifa yake kwa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo