1 Wafalme 2:45 - Swahili Revised Union Version45 Ila mfalme Sulemani atakuwa amebarikiwa, na kiti cha enzi cha Daudi kitathibitika mbele za BWANA hata milele. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema45 Lakini mimi atanibariki, na kiti cha enzi cha Daudi kitaimarishwa mbele ya Mwenyezi-Mungu milele.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND45 Lakini mimi atanibariki, na kiti cha enzi cha Daudi kitaimarishwa mbele ya Mwenyezi-Mungu milele.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza45 Lakini mimi atanibariki, na kiti cha enzi cha Daudi kitaimarishwa mbele ya Mwenyezi-Mungu milele.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu45 Lakini Mfalme Sulemani atabarikiwa, na kiti cha ufalme cha Daudi kitaimarishwa mbele za Mwenyezi Mungu milele.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu45 Lakini Mfalme Sulemani atabarikiwa, na kiti cha ufalme cha Daudi kitakuwa imara mbele za bwana milele.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI45 Ila mfalme Sulemani atakuwa amebarikiwa, na kiti cha enzi cha Daudi kitathibitika mbele za BWANA hata milele. Tazama sura |