1 Wafalme 2:2 - Swahili Revised Union Version2 Mimi naenda njia ya ulimwengu wote; basi uwe hodari, ujioneshe kuwa shujaa na hodari; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 “Mwanangu, kama ilivyo kawaida kwa viumbe vyote kufa, siku zangu zimekwisha. Uwe imara na hodari. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 “Mwanangu, kama ilivyo kawaida kwa viumbe vyote kufa, siku zangu zimekwisha. Uwe imara na hodari. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 “Mwanangu, kama ilivyo kawaida kwa viumbe vyote kufa, siku zangu zimekwisha. Uwe imara na hodari. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Akasema, “Ninakaribia kwenda njia ya dunia yote. Hivyo uwe hodari, jioneshe kuwa mwanaume, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Akasema, “Mimi ninakaribia kwenda njia ya dunia yote. Hivyo uwe hodari, jionyeshe kuwa mwanaume, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI2 Mimi naenda njia ya ulimwengu wote; basi uwe hodari, ujionyeshe kuwa shujaa na hodari; Tazama sura |
Angalieni, mimi leo ninakwenda njia ile waendayo watu wote wa ulimwengu; nanyi nyote mnajua mioyoni mwenu, na rohoni mwenu, ya kuwa halikuwapungukia ninyi hata neno moja katika mambo hayo mema yote aliyoyanena BWANA, Mungu wenu, katika habari zenu; yote yametimia kwenu hapana neno lolote mlilopungukiwa.