Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 2:1 - Swahili Revised Union Version

1 Basi siku ya kufa kwake Daudi ikakaribia, akamwusia Sulemani mwanawe, akasema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Daudi alipokaribia kufariki, alimwita mwanawe Solomoni, akampa wosia akisema,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Daudi alipokaribia kufariki, alimwita mwanawe Solomoni, akampa wosia akisema,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Daudi alipokaribia kufariki, alimwita mwanawe Solomoni, akampa wosia akisema,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Siku zilipokaribia za Daudi kufa, akampa mwanawe Sulemani agizo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Siku zilipokaribia za Daudi kufa, akampa mwanawe Sulemani agizo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Basi siku ya kufa kwake Daudi ikakaribia, akamwusia Sulemani mwanawe, akasema,

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 2:1
15 Marejeleo ya Msalaba  

Siku za kufa kwake Israeli zikakaribia; akamwita mwanawe Yusufu, akamwambia, Kama nimeona kibali machoni pako, weka mkono wako chini ya paja langu, ukanifanyie rehema na kweli; nakusihi usinizike katika Misri.


Nawe siku zako zitakapotimia, ukalala na baba zako, nitainua mzao wako nyuma yako, atakayetoka viunoni mwako, nami nitauimarisha ufalme wake.


Basi mfalme Sulemani akatuma watu, wakamteremsha toka madhabahuni. Naye akaja, akamwinamia mfalme Sulemani; naye Sulemani akamwambia, Nenda nyumbani kwako.


Ndipo akamwita Sulemani mwanawe, akamwagiza amjengee BWANA, Mungu wa Israeli, nyumba.


kisha ukamweke mbele ya Eleazari kuhani, na mbele ya jumuiya yote; ukampe mausia mbele ya macho yao.


Lakini mwagize Yoshua, mtie moyo na nguvu, umtie na nguvu; kwani ndiye atakayevuka mbele ya watu hawa, na nchi utakayoiona atawarithisha yeye.


BWANA akamwambia Musa, Tazama, siku zako za kufa zinakaribia, umwite Yoshua, nanyi mkajihudhurishe katika hema ya kukutania, ili nipate kumwagiza kazi. Musa na Yoshua wakaenda, wakajihudhurisha ndani ya hema ya kukutania.


Akamwagiza Yoshua, mwana wa Nuni, akamwambia, Uwe hodari na moyo mkuu, kwa kuwa utawapeleka wana wa Israeli katika nchi niliyowaapia; nami nitakuwa pamoja nawe.


Hii ndiyo baraka ya Musa, huyo mtu wa Mungu, aliyowabarikia wana wa Israeli kabla ya kufa kwake.


Mwanangu Timotheo, nakukabidhi agizo hilo liwe akiba, kwa ajili ya maneno ya unabii yaliyonenwa awali juu yako, ili katika hayo uweze kupigana vile vita vizuri;


Nakuagiza mbele za Mungu anayevihifadhi hai vitu vyote, na mbele za Kristo Yesu, aliyeyaungama maungamo mazuri yale mbele ya Pontio Pilato,


Nakuagiza mbele za Mungu, na mbele za Kristo Yesu, atakayewahukumu walio hai na waliokufa; kwa kufunuliwa kwake na kwa ufalme wake;


Kwa maana, mimi sasa namiminwa kama tambiko, na wakati wa kuondoka kwangu umefika.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo