1 Wafalme 2:12 - Swahili Revised Union Version12 Basi Sulemani akaketi katika kiti cha enzi cha Daudi baba yake; na ufalme wake ukawa imara sana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Basi, Solomoni akaketi katika kiti cha enzi mahali pa Daudi, baba yake; na ufalme wake ukaimarika. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Basi, Solomoni akaketi katika kiti cha enzi mahali pa Daudi, baba yake; na ufalme wake ukaimarika. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Basi, Solomoni akaketi katika kiti cha enzi mahali pa Daudi, baba yake; na ufalme wake ukaimarika. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Kwa hiyo Sulemani akaketi kwenye kiti cha ufalme cha baba yake Daudi, nao utawala wake ukaimarika sana. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Kwa hiyo Sulemani akaketi katika kiti cha ufalme cha baba yake Daudi, nao utawala wake ukaimarika sana. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Basi Sulemani akaketi katika kiti cha enzi cha Daudi baba yake; na ufalme wake ukawa imara sana. Tazama sura |