Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 2:11 - Swahili Revised Union Version

11 Na siku alizotawala Daudi juu ya Israeli zilikuwa miaka arubaini; huko Hebroni alitawala miaka saba, na katika Yerusalemu akatawala miaka thelathini na mitatu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Alikuwa ametawala Israeli kwa muda wa miaka arubaini; miaka saba akiwa Hebroni, na miaka thelathini na mitatu akiwa Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Alikuwa ametawala Israeli kwa muda wa miaka arubaini; miaka saba akiwa Hebroni, na miaka thelathini na mitatu akiwa Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Alikuwa ametawala Israeli kwa muda wa miaka arubaini; miaka saba akiwa Hebroni, na miaka thelathini na mitatu akiwa Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Daudi alikuwa ametawala Israeli miaka arobaini: huko Hebroni alitawala miaka saba, na katika Yerusalemu akatawala miaka thelathini na tatu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Daudi alikuwa ametawala juu ya Israeli miaka arobaini: huko Hebroni alitawala miaka saba, na katika Yerusalemu akatawala miaka thelathini na mitatu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Na siku alizotawala Daudi juu ya Israeli zilikuwa miaka arobaini; huko Hebroni alitawala miaka saba, na katika Yerusalemu akatawala miaka thelathini na mitatu.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 2:11
3 Marejeleo ya Msalaba  

Sita alizaliwa huko Hebroni; na huko akatawala miaka saba na miezi sita; na huko Yerusalemu akatawala miaka thelathini na mitatu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo