1 Wafalme 18:15 - Swahili Revised Union Version15 Eliya akasema, Kama BWANA wa majeshi aishivyo ambaye ninasimama mbele zake, hakika nitajionesha kwake leo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Elia akamwambia, “Nakuapia kwa jina la Mwenyezi-Mungu wa Majeshi, aishivyo ambaye ninamtumikia: Leo hii nitajitokeza mbele ya mfalme.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Elia akamwambia, “Nakuapia kwa jina la Mwenyezi-Mungu wa Majeshi, aishivyo ambaye ninamtumikia: Leo hii nitajitokeza mbele ya mfalme.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Elia akamwambia, “Nakuapia kwa jina la Mwenyezi-Mungu wa Majeshi, aishivyo ambaye ninamtumikia: leo hii nitajitokeza mbele ya mfalme.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Ilya akasema, “Kama Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni aishivyo, yeye ninayemtumikia, hakika nitajionesha kwa Ahabu leo.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Ilya akasema, “Kama bwana Mwenye Nguvu Zote aishivyo, yeye ninayemtumikia, hakika nitajionyesha kwa Ahabu leo.” Tazama sura |