Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Wafalme 18:16 - Swahili Revised Union Version

16 Basi, Obadia akaenda zake amwone Ahabu, akamwambia; naye Ahabu akaenda kumlaki Eliya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Basi, Obadia akaenda kwa mfalme Ahabu, akampa habari hizo. Naye Ahabu akaenda kukutana na Elia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Basi, Obadia akaenda kwa mfalme Ahabu, akampa habari hizo. Naye Ahabu akaenda kukutana na Elia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Basi, Obadia akaenda kwa mfalme Ahabu, akampa habari hizo. Naye Ahabu akaenda kukutana na Elia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Basi Obadia akaenda kukutana na Ahabu na kumwambia; naye Ahabu akaenda kukutana na Ilya.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Basi Obadia akaenda kukutana na Ahabu na kumwambia, naye Ahabu akaenda kukutana na Ilya.

Tazama sura Nakili




1 Wafalme 18:16
3 Marejeleo ya Msalaba  

Eliya akasema, Kama BWANA wa majeshi aishivyo ambaye ninasimama mbele zake, hakika nitajionesha kwake leo.


Ikawa, Ahabu alipomwona Eliya, Ahabu akamwambia, Je! Ni wewe, Ewe mtaabishaji wa Israeli?


Lakini nitakuokoa wewe katika siku hiyo, asema BWANA; wala hutatiwa katika mikono ya watu wale unaowaogopa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo