Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 20:38 - Swahili Revised Union Version

38 Yonathani akampigia mtoto kelele, Haya! Hima! Usikawie. Mtoto wa Yonathani akaikusanya mishale, akaenda kwa bwana wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Fanya haraka na usisimame tu mahali hapo.” Yule kijana alikusanya mishale na kumwendea bwana wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Fanya haraka na usisimame tu mahali hapo.” Yule kijana alikusanya mishale na kumwendea bwana wake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Fanya haraka na usisimame tu mahali hapo.” Yule kijana alikusanya mishale na kumwendea bwana wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Yonathani akampigia kelele, “Harakisha, nenda haraka! Usisimame!” Mvulana akaokota mshale na kurudi kwa bwana wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Yonathani akampigia kelele, “Harakisha, nenda haraka! Usisimame!” Mvulana akaokota mshale na kurudi kwa bwana wake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

38 Yonathani akampigia mtoto kelele, Haya! Hima! Usikawie. Mtoto wa Yonathani akaikusanya mishale, akaenda kwa bwana wake.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 20:38
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na mtoto alipofika penye ule mshale alioupiga Yonathani, Yonathani akampigia mtoto kelele, akasema, Je! Mshale si uko mbele yako?


Lakini yule mtoto hakujua lolote. Yonathani na Daudi ndio walioijua habari yenyewe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo