Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 20:37 - Swahili Revised Union Version

37 Na mtoto alipofika penye ule mshale alioupiga Yonathani, Yonathani akampigia mtoto kelele, akasema, Je! Mshale si uko mbele yako?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

37 Yule kijana alipofika mahali ambapo mshale uliangukia, Yonathani akamwita, “Mshale uko mbele yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

37 Yule kijana alipofika mahali ambapo mshale uliangukia, Yonathani akamwita, “Mshale uko mbele yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

37 Yule kijana alipofika mahali ambapo mshale uliangukia, Yonathani akamwita, “Mshale uko mbele yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

37 Yule mvulana alipofika mahali pale mshale wa Yonathani ulikuwa umeanguka, Yonathani akamwita, “Je, mshale hauko mbele yako?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

37 Yule mvulana alipofika mahali pale ambapo mshale wa Yonathani ulipokuwa umeanguka, Yonathani akamwita, “Je, mshale hauko mbele yako?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

37 Na mtoto alipofika penye ule mshale alioupiga Yonathani, Yonathani akampigia mtoto kelele, akasema, Je! Mshale si uko mbele yako?

Tazama sura Nakili




1 Samueli 20:37
2 Marejeleo ya Msalaba  

Bali nikimwambia yule mtoto, Tazama, mishale iko huko mbele yako; basi nenda zako, kwa maana BWANA amekuamuru uende zako.


Yonathani akampigia mtoto kelele, Haya! Hima! Usikawie. Mtoto wa Yonathani akaikusanya mishale, akaenda kwa bwana wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo