Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 20:36 - Swahili Revised Union Version

36 Akamwambia mtoto wake, Piga mbio, ukaitafute mishale niipigayo. Na yule mtoto alipokuwa akipiga mbio, akapiga mshale, ukapita juu yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Alipofika huko alimwambia yule kijana wake, “Kimbia ukaitafute mishale ambayo nitapiga.” Yule kijana alipokuwa anakimbia, Yonathani akapiga mshale mbele yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Alipofika huko alimwambia yule kijana wake, “Kimbia ukaitafute mishale ambayo nitapiga.” Yule kijana alipokuwa anakimbia, Yonathani akapiga mshale mbele yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Alipofika huko alimwambia yule kijana wake, “Kimbia ukaitafute mishale ambayo nitapiga.” Yule kijana alipokuwa anakimbia, Yonathani akapiga mshale mbele yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 naye Yonathani akamwambia yule mvulana, “Kimbia ukatafute mishale nitakayorusha.” Mvulana alipokuwa akikimbia, akarusha mishale mbele yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 naye Yonathani akamwambia yule mvulana, “Kimbia ukatafute mishale nitakayorusha.” Mvulana alipokuwa akikimbia, akarusha mishale mbele yake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

36 Akamwambia mtoto wake, Piga mbio, ukaitafute mishale niipigayo. Na yule mtoto alipokuwa akipiga mbio, akapiga mshale, ukapita juu yake.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 20:36
2 Marejeleo ya Msalaba  

Hata asubuhi Yonathani akatoka kwenda shambani wakati ule alioagana na Daudi, na mtoto mdogo alikuwa pamoja naye.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo