1 Samueli 15:26 - Swahili Revised Union Version26 Samweli akasema, Sitarudi pamoja nawe; kwa sababu umelikataa neno la BWANA, BWANA naye amekukataa wewe, usiwe mfalme wa Israeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema26 Samueli akamjibu: “Kamwe, siwezi kurudi pamoja nawe. Wewe umeikataa amri ya Mwenyezi-Mungu, naye amekukataa kuwa mfalme juu ya Israeli.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND26 Samueli akamjibu: “Kamwe, siwezi kurudi pamoja nawe. Wewe umeikataa amri ya Mwenyezi-Mungu, naye amekukataa kuwa mfalme juu ya Israeli.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza26 Samueli akamjibu: “Kamwe, siwezi kurudi pamoja nawe. Wewe umeikataa amri ya Mwenyezi-Mungu, naye amekukataa kuwa mfalme juu ya Israeli.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu26 Lakini Samweli akamwambia, “Sitarudi pamoja nawe. Umelikataa neno la Mwenyezi Mungu, naye Mwenyezi Mungu amekukataa wewe, usiendelee kuwa mfalme juu ya Israeli!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu26 Lakini Samweli akamwambia, “Sitarudi pamoja nawe. Umelikataa neno la bwana, naye bwana amekukataa wewe, usiendelee kuwa mfalme juu ya Israeli!” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI26 Samweli akasema, Sitarudi pamoja nawe; kwa sababu umelikataa neno la BWANA, BWANA naye amekukataa wewe, usiwe mfalme wa Israeli. Tazama sura |