Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 15:20 - Swahili Revised Union Version

20 Sauli akamwambia Samweli, Hakika mimi nimeitii sauti ya BWANA, nami nimemleta Agagi, mfalme wa Waamaleki, tena nimewaangamiza Waamaleki kabisa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Shauli akajibu, “Nimetii sauti ya Mwenyezi-Mungu. Nilikwenda kule alikonituma Mwenyezi-Mungu; nimemleta Agagi mfalme wa Waamaleki, na nimewaangamiza kabisa Waamaleki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Shauli akajibu, “Nimetii sauti ya Mwenyezi-Mungu. Nilikwenda kule alikonituma Mwenyezi-Mungu; nimemleta Agagi mfalme wa Waamaleki, na nimewaangamiza kabisa Waamaleki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Shauli akajibu, “Nimetii sauti ya Mwenyezi-Mungu. Nilikwenda kule alikonituma Mwenyezi-Mungu; nimemleta Agagi mfalme wa Waamaleki, na nimewaangamiza kabisa Waamaleki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Sauli akasema, “Lakini nilimtii Mwenyezi Mungu. Nilikamilisha ile kazi ambayo Mwenyezi Mungu alinituma. Niliwaangamiza Waamaleki kabisa na kumleta Agagi mfalme wao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Sauli akasema, “Lakini nilimtii bwana. Nilikamilisha ile kazi ambayo bwana alinituma. Niliwaangamiza Waamaleki kabisa na kumleta Agagi mfalme wao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Sauli akamwambia Samweli, Hakika mimi nimeitii sauti ya BWANA, nami nimemleta Agagi, mfalme wa Waamaleki, tena nimewaangamiza Waamaleki kabisa.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 15:20
12 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi ni safi, sina makosa; Sina hatia, wala hapana uovu ndani yangu;


Kwani Ayubu amesema, Mimi ni mwenye haki, Naye Mungu ameniondolea haki yangu;


Je! Wewe wadhani kwamba haya ni haki yako, Au je! Wasema, Ni haki yangu mbele za Mungu,


Je! Hata hukumu yangu utaibatilisha? Utanitia mimi hatiani, upate kuhesabiwa haki?


Yule kijana akamwambia, Haya yote nimeyashika; nimepungukiwa na nini tena?


Naye akitaka kujidai haki, alimwuliza Yesu, Na jirani yangu ni nani?


Yule Farisayo akasimama akiomba hivi moyoni mwake; Ee Mungu, nakushukuru kwa kuwa mimi si kama watu wengine, wanyang'anyi, wadhalimu, wazinzi, wala kama huyu mtoza ushuru.


Kwa maana, wakiwa hawaijui haki ya Mungu, na wakitaka kuithibitisha haki yao wenyewe, hawakujitia chini ya haki ya Mungu.


Samweli akamwendea Sauli; naye Sauli akamwambia, Ubarikiwe na BWANA, nimeitimiza amri ya BWANA.


Basi sasa nenda ukawapige Waamaleki, na kuviharibu kabisa vitu vyote walivyonavyo, wala msiwaachilie; bali waueni, mwanamume na mwanamke, na mtoto anyonyaye, ng'ombe na kondoo, ngamia na punda.


Akamkamata Agagi, mfalme wa Waamaleki akiwa hai, akawaangamiza hao watu wote kwa upanga.


Kwa sababu wewe hukuitii sauti ya BWANA, wala hukumtimilizia hasira yake kali juu ya Amaleki; kwa sababu hii BWANA amekutendea hili leo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo