Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 15:21 - Swahili Revised Union Version

21 Ila watu waliteka nyara, kondoo na ng'ombe walio wazuri, katika vitu vilivyowekwa wakfu, kusudi wavitoe dhabihu kwa BWANA, Mungu wako, huko Gilgali.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Lakini watu walichukua nyara: Kondoo, ng'ombe na vitu vyote bora vilivyotolewa viangamizwe ili kumtambikia Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, huko Gilgali.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Lakini watu walichukua nyara: Kondoo, ng'ombe na vitu vyote bora vilivyotolewa viangamizwe ili kumtambikia Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, huko Gilgali.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Lakini watu walichukua nyara: kondoo, ng'ombe na vitu vyote bora vilivyotolewa viangamizwe ili kumtambikia Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, huko Gilgali.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Askari walichukua kondoo na ng’ombe kutoka nyara, kutoka kwa wale wazuri sana katika vitu vilivyotengewa Mungu, ili wavitoe kuwa dhabihu kwa Mwenyezi Mungu, Mungu wako, huko Gilgali.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Askari walichukua kondoo na ng’ombe kutoka kwenye nyara, zile ambazo ni nzuri sana zimewekwa wakfu kwa Mungu, ili zitolewe dhabihu kwa bwana Mwenyezi Mungu wako huko Gilgali.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Ila watu waliteka nyara, kondoo na ng'ombe walio wazuri, katika vitu vilivyowekwa wakfu, kusudi wavitoe dhabihu kwa BWANA, Mungu wako, huko Gilgali.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 15:21
5 Marejeleo ya Msalaba  

Adamu akasema, Huyo mwanamke uliyenipa awe pamoja nami ndiye aliyenipa matunda ya mti huo, nikala.


BWANA Mungu akamwambia mwanamke, Nini hili ulilolifanya? Mwanamke akasema, Nyoka alinidanganya, nikala.


Maana marhamu hii ingaliweza kuuzwa kwa fedha nyingi wakapewa maskini.


Sauli akasema, Wamewaleta kutoka kwa Waamaleki; maana watu waliwaacha hai kondoo na ng'ombe walio wazuri, ili wawatoe dhabihu kwa BWANA, Mungu wako, nao waliosalia tumewaangamiza kabisa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo