Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 14:9 - Swahili Revised Union Version

9 Nao wakituambia hivi, Ngojeni, hadi sisi tuwafikie; ndipo tusimame pale pale mahali petu, tusiwaendee.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Kama wakituambia tuwangoje, hadi waje hapa tulipo basi, tutasimama papa hapa na wala hatutawaendea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Kama wakituambia tuwangoje, hadi waje hapa tulipo basi, tutasimama papa hapa na wala hatutawaendea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Kama wakituambia tuwangoje, hadi waje hapa tulipo basi, tutasimama papa hapa na wala hatutawaendea.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Wakituambia, ‘Subirini hapo hadi tuje kwenu,’ tutakaa pale tulipo na hatutakwea kwao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Kama wakituambia, ‘Subirini hapo mpaka tuje kwenu,’ tutakaa pale tulipo na hatutakwea kwao.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Nao wakituambia hivi, Ngojeni, hadi sisi tuwafikie; ndipo tusimame pale pale mahali petu, tusiwaendee.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 14:9
5 Marejeleo ya Msalaba  

nawe utasikia wanayoyasema, na baada ya haya, mikono yako itatiwa nguvu; ushuke kambini. Ndipo akashuka pamoja na Pura mtumishi wake hadi katika vituo vya walinda zamu wa kambi ya Wamidiani.


Lakini wakisema hivi, Haya! Ninyi, njoni; hapo ndipo tutakapoenda; kwa maana BWANA amewatia mikononi mwetu; na hii itakuwa ndiyo ishara kwetu.


Ndipo Yonathani akasema, Tazama, sisi tutavuka kwa watu hawa, na kujidhihirisha kwao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo