Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Samueli 14:8 - Swahili Revised Union Version

8 Ndipo Yonathani akasema, Tazama, sisi tutavuka kwa watu hawa, na kujidhihirisha kwao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Yonathani akamwambia, “Tutavuka kuwaendea wale watu ili wapate kutuona.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Yonathani akamwambia, “Tutavuka kuwaendea wale watu ili wapate kutuona.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Yonathani akamwambia, “Tutavuka kuwaendea wale watu ili wapate kutuona.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Yonathani akasema, “Basi njoo; tutavuka kuwaelekea hao watu na kuacha watuone.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Yonathani akasema, “Basi njoo; tutavuka kuwaelekea hao watu na kuacha watuone.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Ndipo Yonathani akasema, Tazama, sisi tutavuka kwa watu hawa, na kujidhihirisha kwao.

Tazama sura Nakili




1 Samueli 14:8
3 Marejeleo ya Msalaba  

Naye huyo mbebaji silaha akamjibu, Fanya yote yaliyomo moyoni mwako; angalia, mimi hapa ni pamoja nawe, moyo wangu ni kama moyo wako.


Nao wakituambia hivi, Ngojeni, hadi sisi tuwafikie; ndipo tusimame pale pale mahali petu, tusiwaendee.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo