1 Samueli 14:51 - Swahili Revised Union Version51 Na Kishi, babaye Sauli, na Neri, babaye Abneri, walikuwa wana wa Abieli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema51 Baba wa Shauli alikuwa Kishi na baba wa Abneri alikuwa Neri mwana wa Abieli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND51 Baba wa Shauli alikuwa Kishi na baba wa Abneri alikuwa Neri mwana wa Abieli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza51 Baba wa Shauli alikuwa Kishi na baba wa Abneri alikuwa Neri mwana wa Abieli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu51 Babaye Sauli, yaani Kishi, na Neri baba yake Abneri walikuwa wana wa Abieli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu51 Babaye Sauli yaani, Kishi na Neri baba yake Abneri walikuwa wana wa Abieli. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI51 Na Kishi, babaye Sauli, na Neri, babaye Abneri, walikuwa wana wa Abieli. Tazama sura |