1 Samueli 13:1 - Swahili Revised Union Version1 Sauli alikuwa na umri wa miaka kadha wa kadha hapo alipoanza kutawala; naye akatawala miaka kadha wa kadha juu ya Israeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Shauli alikuwa na umri wa miaka kadha wa kadha alipoanza kutawala. Na alitawala Israeli kwa muda wa miaka … miwili. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Shauli alikuwa na umri wa miaka kadha wa kadha alipoanza kutawala. Na alitawala Israeli kwa muda wa miaka … miwili. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Shauli alikuwa na umri wa miaka kadha wa kadha alipoanza kutawala. Na alitawala Israeli kwa muda wa miaka…miwili. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Sauli alikuwa na umri wa miaka thelathini, alipokuwa mfalme, akatawala Israeli miaka arobaini na mbili. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Sauli alikuwa na miaka thelathini, alipokuwa mfalme, akatawala Israeli miaka arobaini na miwili. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 Sauli alikuwa na umri wa miaka kadha wa kadha hapo alipoanza kutawala; naye akatawala miaka kadha wa kadha juu ya Israeli. Tazama sura |