Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zekaria 7:8 - Swahili Revised Union Version

Kisha neno la BWANA likamjia Zekaria, kusema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Neno la Mwenyezi-Mungu likanijia mimi Zekaria:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Neno la Mwenyezi-Mungu likanijia mimi Zekaria:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Neno la Mwenyezi-Mungu likanijia mimi Zekaria:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Neno la Mwenyezi Mungu likamjia tena Zekaria:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Neno la bwana likamjia tena Zekaria:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha neno la BWANA likamjia Zekaria, kusema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zekaria 7:8
4 Marejeleo ya Msalaba  

wala hatukuwasikiliza watumishi wako, manabii, ambao kwa jina lako walisema na wafalme wetu, na wakuu wetu, na baba zetu, na watu wote wa nchi.


Naye Musa aliposikia hayo, akaridhika.


Je, Hayo siyo maneno aliyoyasema BWANA kwa vinywa vya manabii wa zamani, wakati Yerusalemu ulipokaliwa na watu na kufanikiwa, na miji yake iliyokuwa ikiuzunguka; na wakati ule ambao nchi ya Negebu na Shefela ilipokuwa ikikaliwa na watu?


BWANA wa majeshi amesema hivi, ya kwamba, Fanyeni hukumu za kweli, kila mtu na amwonee ndugu yake rehema na huruma;