Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zekaria 1:10 - Swahili Revised Union Version

Na yule mtu aliyesimama kati ya mihadasi akajibu, akasema, Hawa ndio BWANA aliowatuma, waende huku na huko duniani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hawa ndio waliotumwa na Mwenyezi-Mungu kuikagua dunia.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hawa ndio waliotumwa na Mwenyezi-Mungu kuikagua dunia.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hawa ndio waliotumwa na Mwenyezi-Mungu kuikagua dunia.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha yule mtu aliyesimama katikati ya miti ya mihadasi akaeleza, “Ni wale ambao Mwenyezi Mungu amewatuma waende duniani kote.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha yule mtu aliyesimama katikati ya miti ya mihadasi akaeleza, “Ni wale ambao bwana amewatuma waende duniani kote.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na yule mtu aliyesimama kati ya mihadasi akajibu, akasema, Hawa ndio BWANA aliowatuma, waende huku na huko duniani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zekaria 1:10
13 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akamwuliza Shetani, Umetoka wapi wewe? Ndipo Shetani akamjibu BWANA, na kusema, Natoka katika kuzungukazunguka duniani, na katika kutembea huku na huku humo.


Nao wakamjibu yule malaika wa BWANA aliyesimama kati ya mihadasi, wakasema, Tumekwenda huku na huko duniani, na tazama, dunia yote inatulia, nayo imestarehe.


Niliona wakati wa usiku, na tazama, mtu amepanda farasi mwekundu, akasimama kati ya miti ya mihadasi iliyokuwa mahali penye uvuli; na nyuma yake walikuwapo farasi wengine wekundu, na wa rangi ya kijivujivu, na weupe.


Amka, Ee upanga, juu ya mchungaji wangu, na juu ya mtu aliye mwenzangu, asema BWANA wa majeshi; mpige mchungaji, nao kondoo watatawanyika; nami nitaugeuza mkono wangu juu ya wadogo.


Maana yeyote aliyeidharau siku ya mambo madogo watafurahi, naye ataiona timazi ikiwa katika mkono wa Zerubabeli; naam, hizi taa saba ndizo macho ya BWANA; yanaona huku na huko duniani kote.


na tazama, kifuniko cha risasi kiliinuliwa; na tazama, mlikuwa na mwanamke ndani ya kikapu.


Je! Hao wote si roho watumikao, wakitumwa kuwahudumia wale watakaourithi wokovu?