Zekaria 1:10 - Swahili Revised Union Version10 Na yule mtu aliyesimama kati ya mihadasi akajibu, akasema, Hawa ndio BWANA aliowatuma, waende huku na huko duniani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Hawa ndio waliotumwa na Mwenyezi-Mungu kuikagua dunia.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Hawa ndio waliotumwa na Mwenyezi-Mungu kuikagua dunia.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Hawa ndio waliotumwa na Mwenyezi-Mungu kuikagua dunia.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Kisha yule mtu aliyesimama katikati ya miti ya mihadasi akaeleza, “Ni wale ambao Mwenyezi Mungu amewatuma waende duniani kote.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Kisha yule mtu aliyesimama katikati ya miti ya mihadasi akaeleza, “Ni wale ambao bwana amewatuma waende duniani kote.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 Na yule mtu aliyesimama kati ya mihadasi akajibu, akasema, Hawa ndio BWANA aliowatuma, waende huku na huko duniani. Tazama sura |