Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 102:5 - Swahili Revised Union Version

Kwa ajili ya kilio cha kuugua kwangu Mifupa yangu imegandamana na nyama yangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kutokana na kusononeka kwangu, nimebaki mifupa na ngozi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kutokana na kusononeka kwangu, nimebaki mifupa na ngozi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kutokana na kusononeka kwangu, nimebaki mifupa na ngozi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa sababu ya kusononeka kwangu kwa uchungu, nimebakia ngozi na mifupa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa sababu ya kusononeka kwangu kwa uchungu, nimebakia ngozi na mifupa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa ajili ya kilio cha kuugua kwangu Mifupa yangu imegandamana na nyama yangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 102:5
10 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe.


Mfupa wangu unagandamana na ngozi yangu na nyama yangu, Nami nimeokoka na ngozi ya meno yangu tu.


Nimechoka kwa kuugua kwangu; Kila usiku nakibubujikia kitanda changu; Nililowesha godoro langu kwa machozi yangu.


Ondokeni kwangu, ninyi nyote mtendao uovu; Kwa kuwa BWANA ameisikia sauti ya kilio changu.


Asubuhi yachipuka na kumea, Jioni yakatika na kukauka.


Moyo uliochangamka ni dawa nzuri; Bali roho iliyopondeka huikausha mifupa.


Nyuso zao ni nyeusi kuliko makaa; Hawajulikani katika njia kuu; Ngozi yao yagandamana na mifupa yao Imekauka, imekuwa kama mti.


Tena mumewe akafanya hivyo mwaka kwa mwaka, hapo yule mwanamke alipokwea kwenda nyumbani kwa BWANA, ndivyo yule alivyomchokoza; basi, kwa hiyo, yeye akalia, asile chakula.