Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 7:10 - Swahili Revised Union Version

BWANA akamwambia Yoshua, Haya! Inuka, mbona umeanguka kifudifudi hivi?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenyezi-Mungu akamwambia Yoshua, “Simama! Mbona umejitupa chini hivyo?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenyezi-Mungu akamwambia Yoshua, “Simama! Mbona umejitupa chini hivyo?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenyezi-Mungu akamwambia Yoshua, “Simama! Mbona umejitupa chini hivyo?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu akamwambia Yoshua, “Simama! Unafanya nini ukilala kifudifudi?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana akamwambia Yoshua, “Simama! Unafanya nini hapo chini kifudifudi?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

BWANA akamwambia Yoshua, Haya! Inuka, mbona umeanguka kifudifudi hivi?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 7:10
7 Marejeleo ya Msalaba  

ya dhahabu, ya fedha, na ya shaba, na ya chuma, hapana hesabu; basi inuka ushike kazi, naye BWANA na awe pamoja nawe.


BWANA akamwambia Musa, Mbona unanililia mimi? Waambie wana wa Israeli waendelee mbele.


Kisha BWANA akanena na Yoshua, na kumwambia,


Israeli wamefanya dhambi, naam, wamelivunja agano langu nililowaagiza; naam, wametwaa baadhi ya vitu vilivyowekwa wakfu; tena wameiba, tena wameficha na kuvitia pamoja na vitu vyao wenyewe.


Maana Wakanaani na wenyeji wote wa nchi hii watasikia habari hii, nao watatuzingira, na kulifuta jina letu katika nchi. Nawe utafanya nini kwa ajili ya jina lako kuu?


Naye Samweli akasema, Je! BWANA huzipenda sadaka za kuteketezwa na dhabihu Sawasawa na kuitii sauti ya BWANA? Angalia, kutii ni bora kuliko dhabihu, Na kusikiza ushauri kuliko mafuta ya beberu.


BWANA akamwambia Samweli, utamlilia Sauli hadi lini, kwa kuwa mimi nimemkataa asiwatawale Waisraeli? Ijaze pembe yako mafuta, uende, nami nitakutuma kwa Yese, Mbethlehemi; maana nimejipatia mfalme katika wanawe.