Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 6:3 - Swahili Revised Union Version

Nanyi mtauzunguka mji huu, wapiganaji wote, mkiuzunguka mji mara moja. Fanya hivi siku sita.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wewe na wale watu wenye silaha wote mtauzunguka huo mji mara moja kila siku kwa siku sita.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wewe na wale watu wenye silaha wote mtauzunguka huo mji mara moja kila siku kwa siku sita.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wewe na wale watu wenye silaha wote mtauzunguka huo mji mara moja kila siku kwa siku sita.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Zunguka mji mara moja pamoja na watu wote wenye silaha. Fanya hivi kwa siku sita.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Zunguka mji mara moja pamoja na watu wote wenye silaha. Fanya hivi kwa siku sita.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nanyi mtauzunguka mji huu, wapiganaji wote, mkiuzunguka mji mara moja. Fanya hivi siku sita.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 6:3
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na chini yake palikuwa na mifano ya fahali, walioizunguka pande zote, kwa dhiraa kumi, wakiizunguka pande zote ile bahari. Fahali walikuwa safu mbili, wakayeyushwa hapo ilipoyeyushwa hiyo bahari.


Lakini msimwasi BWANA, wala msiwaogope wale wenyeji wa nchi, maana wao ni chakula kwetu; kinga iliyokuwa juu yao imeondolewa, naye BWANA yuko pamoja nasi; msiwaogope.


Lakini tuna hazina hii katika vyombo vya udongo, ili adhama kuu ya uwezo iwe ya Mungu, wala si kutoka kwetu.


Basi akalipeleka sanduku la BWANA liuzunguke huo mji, likauzunguka mara moja, kisha wakaenda kambini wakakaa humo kambini.


Siku ya pili wakauzunguka mji mara moja, wakarejea kambini; ndivyo walivyofanya siku sita.


BWANA akamwambia Yoshua, Tazama, nimeutia Yeriko katika mkono wako, na mfalme wake, na mashujaa wake.


Na makuhani saba watachukua baragumu saba za pembe za kondoo dume, watatangulia mbele za hilo sanduku; na siku ya saba mtauzunguka mji mara saba, nao makuhani watapiga baragumu zao.


Naye akawaambia watu, Piteni mbele, mkauzunguke mji, na hao watu wenye silaha na watangulie mbele ya sanduku la BWANA.