Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 19:32 - Swahili Revised Union Version

Kisha sehemu ya sita ikatokea kwa ajili ya wana wa Naftali, maana, ni kwa ajili ya wana wa Naftali kwa kufuata jamaa zao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kura ya sita ilizipata koo za kabila la Naftali.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kura ya sita ilizipata koo za kabila la Naftali.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kura ya sita ilizipata koo za kabila la Naftali.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kura ya sita ikaangukia kabila la Naftali, kufuatana na koo zao:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kura ya sita ikaangukia kabila la Naftali, ukoo kwa ukoo:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha sehemu ya sita ikatokea kwa ajili ya wana wa Naftali, maana, ni kwa ajili ya wana wa Naftali kwa kufuata jamaa zao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 19:32
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Bilha, kijakazi wa Raheli, ni Dani na Naftali.


Naftali ni ayala aliyefunguliwa; Anatoa maneno mazuri.


Ahimaasi, katika Naftali; naye ndiye aliyemwoa Basemathi binti Sulemani.


Na mpakani mwa Asheri, toka upande wa mashariki hadi upande wa magharibi; Naftali, fungu moja.


Lakini nchi itagawanywa kwa kura; kwa majina ya makabila ya baba zao, ndivyo watakavyopata urithi.


akatoka Nazareti, akaja akakaa Kapernaumu, mji ulioko pwani, mipakani mwa Zabuloni na Naftali;


Na Naftali akamnena, Ee Naftali, uliyeshiba fadhili, Uliyejawa na baraka ya BWANA; Umiliki magharibi na kusini.


Huu ndio urithi wa kabila la wana wa Asheri kwa kufuata jamaa zao; miji hii pamoja na vijiji vyake.


Na mpaka wao ulikuwa kutoka Helefu, tokea ule mwaloni ulio katika Saananimu, na Adami-nekebu, na Yabneeli, hadi kufikia Lakumu; na matokeo yake yalikuwa katika mto wa Yordani;


Naftali naye hakuwatoa wenyeji wa Beth-shemeshi, wala hao waliokaa Bethanathi; lakini alikaa kati ya Wakanaani, hao wenyeji wa nchi; pamoja na haya, hao wenyeji wa Beth-shemeshi, na wenyeji wa Bethi-anathi, wakawatumikia kazi ya shokoa.


Siku moja Debora akatuma mtu akamwita Baraka wa Abinoamu kutoka Kedesh-Naftali, akamwambia, BWANA, Mungu wa Israeli anakuamuru hivi: “Nenda, ukawaogoze watu elfu kumi na wana wa Naftali, na wa wana wa Zabuloni, ili washike doria katika mlima Tabori”.