Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 19:31 - Swahili Revised Union Version

31 Huu ndio urithi wa kabila la wana wa Asheri kwa kufuata jamaa zao; miji hii pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Sehemu hizo ndizo zilizopewa koo za kabila la Asheri; miji hiyo pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Sehemu hizo ndizo zilizopewa koo za kabila la Asheri; miji hiyo pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Sehemu hizo ndizo zilizopewa koo za kabila la Asheri; miji hiyo pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa urithi wa kabila la Asheri, kufuatana na koo zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Miji hii pamoja na vijiji vyake ilikuwa ndio urithi wa kabila la Asheri, ukoo kwa ukoo.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

31 Huu ndio urithi wa kabila la wana wa Asheri kwa kufuata jamaa zao; miji hii pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura Nakili




Yoshua 19:31
5 Marejeleo ya Msalaba  

Asheri, chakula chake kitakuwa kinono, Naye atatoa tunu za kifalme.


Tena mpakani mwake Dani, toka upande wa mashariki hadi upande wa magharibi; Asheri, fungu moja.


na Uma pia, na Afeka, na Rehobu; miji ishirini na miwili, pamoja na vijiji vyake.


Kisha sehemu ya sita ikatokea kwa ajili ya wana wa Naftali, maana, ni kwa ajili ya wana wa Naftali kwa kufuata jamaa zao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo