Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 19:30 - Swahili Revised Union Version

30 na Uma pia, na Afeka, na Rehobu; miji ishirini na miwili, pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Uma, Afeka na Rehobu. Jumla ya miji waliyopewa ni ishirini na miwili pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Uma, Afeka na Rehobu. Jumla ya miji waliyopewa ni ishirini na miwili pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Uma, Afeka na Rehobu. Jumla ya miji waliyopewa ni ishirini na miwili pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Uma, Afeki na Rehobu. Ilikuwa miji ishirini na mbili, pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Uma, Afeki na Rehobu. Ilikuwepo miji ishirini na miwili, pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

30 na Uma pia, na Afeka, na Rehobu; miji ishirini na miwili, pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura Nakili




Yoshua 19:30
12 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini waliosalia wakakimbia mpaka Afeki, mjini; na ukuta ukaanguka juu ya watu elfu ishirini na saba waliosalia. Ben-hadadi naye akakimbia, akaingia mjini, katika chumba cha ndani.


Mwanadamu, uuelekezee Sidoni uso wako, ukatabiri juu yake,


Katika kabila la Yusufu, yaani, katika kabila la Manase, Gadi mwana wa Susi.


mfalme wa Afeka, mmoja; na mfalme wa Lasharoni, mmoja;


upande wa kusini; nchi yote ya Wakanaani na Meara iliyo ya Wasidoni, mpaka Afeka, hata mpaka wa Waamori;


na Ebroni, Rehobu, Hamoni, Kana, hadi kufikia Sidoni Kuu;


kisha mpaka ulizunguka kuelekea Rama, na mji wa Tiro ulio na boma; kisha mpaka ulizunguka kuelekea Hosa; na matokeo yake yalikuwa baharini katika nchi ya Akzibu;


Huu ndio urithi wa kabila la wana wa Asheri kwa kufuata jamaa zao; miji hii pamoja na vijiji vyake.


na Helkathi pamoja na mbuga zake za malisho, na Rehobu pamoja na mbuga zake za malisho; miji minne.


Asheri naye hakuwatoa wenyeji wa Aka, wala hao waliokaa Sidoni, wala hao wa Alabu, wala hao wa Akzibu, wala hao wa Helba, wala hao wa Afeka, wala hao wa Rehobu;


Basi hao Wafilisti wakakusanya majeshi yao yote huko Afeki; nao Waisraeli wakafanya kambi karibu na chemchemi iliyoko Yezreeli.


[Ikawa siku zile Wafilisti walikusanyika ili kupigana na Israeli,] nao Waisraeli wakatoka juu ya Wafilisti kwenda vitani; wakatua karibu na Ebenezeri, nao Wafilisti wakatua huko Afeki.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo