Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 19:24 - Swahili Revised Union Version

Kisha sehemu ya tano ilitokea kwa ajili ya kabila la wana wa Asheri kwa kufuata jamaa zao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kura ya tano ilizipata koo za kabila la Asheri.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kura ya tano ilizipata koo za kabila la Asheri.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kura ya tano ilizipata koo za kabila la Asheri.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kura ya tano ikaangukia kabila la Asheri, kufuatana na koo zao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kura ya tano ikaangukia kabila la Asheri, ukoo kwa ukoo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha sehemu ya tano ilitokea kwa ajili ya kabila la wana wa Asheri kwa kufuata jamaa zao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 19:24
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wana wa Zilpa, kijakazi wa Lea, ni Gadi na Asheri. Hawa ndio wana wa Yakobo aliozaliwa katika Padan-aramu.


Baana mwana wa Hushai, katika Asheri na Bealothi.


Tena mpakani mwake Dani, toka upande wa mashariki hadi upande wa magharibi; Asheri, fungu moja.


Huu ndio urithi wa kabila la wana wa Isakari kwa kufuata jamaa zao; miji hiyo pamoja na vijiji vyake.


Na mpaka wao ulikuwa ni Helkathi, Hali, Beteni, Akishafu;


Asheri naye hakuwatoa wenyeji wa Aka, wala hao waliokaa Sidoni, wala hao wa Alabu, wala hao wa Akzibu, wala hao wa Helba, wala hao wa Afeka, wala hao wa Rehobu;


Gileadi alikaa ng'ambo ya Yordani, Na Dani, mbona alikaa katika merikebu? Asheri alikaa kimya penye bandari ya bahari, Alikaa katika hori zake.