Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 19:2 - Swahili Revised Union Version

Miji waliyokuwa nayo katika urithi wao ni Beer-sheba, Sheba, Molada;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kabila la Simeoni lilipata miji ya Beer-sheba, Sheba, Molada

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kabila la Simeoni lilipata miji ya Beer-sheba, Sheba, Molada

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kabila la Simeoni lilipata miji ya Beer-sheba, Sheba, Molada

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ulijumuisha: Beer-Sheba (au Sheba), Molada,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ulijumuisha: Beer-Sheba (au Sheba), Molada,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Miji waliyokuwa nayo katika urithi wao ni Beer-sheba, Sheba, Molada;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 19:2
8 Marejeleo ya Msalaba  

Abrahamu akaamka asubuhi na mapema akatwaa mkate na kiriba cha maji, akampa Hajiri akamtwika begani pake, na kijana, akamruhusu; naye akatoka, akapotea katika jangwa la Beer-sheba.


Kwa hiyo akapaita mahali pale Beer-sheba, kwa sababu waliapa huko wote wawili.


Amamu, Shema, Molada;


Hasar-shuali, Beer-sheba, Biziothia;


Kisha sehemu ya pili ilitokea kwa ajili ya Simeoni, maana, kwa ajili ya hilo kabila la wana wa Simeoni, kwa kufuata jamaa zao; na urithi wao ulikuwa katikati ya urithi wa wana wa Yuda.


Hasar-shuali, Bala, Esemu;