Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 19:2 - Swahili Revised Union Version

2 Miji waliyokuwa nayo katika urithi wao ni Beer-sheba, Sheba, Molada;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Kabila la Simeoni lilipata miji ya Beer-sheba, Sheba, Molada

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Kabila la Simeoni lilipata miji ya Beer-sheba, Sheba, Molada

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Kabila la Simeoni lilipata miji ya Beer-sheba, Sheba, Molada

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Ulijumuisha: Beer-Sheba (au Sheba), Molada,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Ulijumuisha: Beer-Sheba (au Sheba), Molada,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

2 Miji waliyokuwa nayo katika urithi wao ni Beer-sheba, Sheba, Molada;

Tazama sura Nakili




Yoshua 19:2
8 Marejeleo ya Msalaba  

Abrahamu akaamka asubuhi na mapema akatwaa mkate na kiriba cha maji, akampa Hajiri akamtwika begani pake, na kijana, akamruhusu; naye akatoka, akapotea katika jangwa la Beer-sheba.


Kwa hiyo akapaita mahali pale Beer-sheba, kwa sababu waliapa huko wote wawili.


Amamu, Shema, Molada;


Hasar-shuali, Beer-sheba, Biziothia;


Kisha sehemu ya pili ilitokea kwa ajili ya Simeoni, maana, kwa ajili ya hilo kabila la wana wa Simeoni, kwa kufuata jamaa zao; na urithi wao ulikuwa katikati ya urithi wa wana wa Yuda.


Hasar-shuali, Bala, Esemu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo