Mwanzo 21:31 - Swahili Revised Union Version31 Kwa hiyo akapaita mahali pale Beer-sheba, kwa sababu waliapa huko wote wawili. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Kwa hiyo kisima hicho kikaitwa Beer-sheba, maana wote wawili walikula kiapo mahali hapo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Kwa hiyo kisima hicho kikaitwa Beer-sheba, maana wote wawili walikula kiapo mahali hapo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Kwa hiyo kisima hicho kikaitwa Beer-sheba, maana wote wawili walikula kiapo mahali hapo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Hivyo mahali pale pakaitwa Beer-Sheba, kwa sababu watu hao wawili waliapiana hapo. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Hivyo mahali pale pakaitwa Beer-Sheba, kwa sababu watu wawili waliapiana hapo. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI31 Kwa hiyo akapaita mahali pale Beer-sheba, kwa sababu waliapa huko wote wawili. Tazama sura |