Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 15:46 - Swahili Revised Union Version

kutoka huko Ekroni mpaka baharini, yote iliyokuwa upande wa Ashdodi, pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

miji yote na vijiji vilivyokuwa karibu na Ashdodi kati ya Ekroni na bahari,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

miji yote na vijiji vilivyokuwa karibu na Ashdodi kati ya Ekroni na bahari,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

miji yote na vijiji vilivyokuwa karibu na Ashdodi kati ya Ekroni na bahari,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

magharibi mwa Ekroni, maeneo yote yaliyokuwa karibu na Ashdodi, pamoja na vijiji vyake;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

magharibi ya Ekroni, maeneo yote yaliyokuwa karibu na Ashdodi, pamoja na vijiji vyake;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

kutoka huko Ekroni mpaka baharini, yote iliyokuwa upande wa Ashdodi, pamoja na vijiji vyake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 15:46
9 Marejeleo ya Msalaba  

Akatoka akapigana na Wafilisti, akauvunja ukuta wa Gathi, na ukuta wa Yabne, na ukuta wa Ashdodi; akajenga miji katika Ashdodi na katikati ya Wafilisti.


Katika mwaka ule jemadari yule alipofika Ashdodi, alipotumwa na Sargoni mfalme wa Ashuru; naye alipigana na Ashdodi akautwaa;


Nami nitamkatilia mbali mwenyeji katika Ashdodi; na yeye aishikaye fimbo ya enzi katika Ashkeloni; nami nitaugeuza mkono wangu uwe juu ya Ekroni; na mabaki ya Wafilisti wataangamia, asema Bwana MUNGU.


Hawakusalia Waanaki hata mmoja katika nchi ya wana wa Israeli; isipokuwa walisalia katika Gaza, na katika Gathi, na katika Ashdodi.


Ekroni, pamoja na miji yake na vijiji vyake;


Ashdodi, na miji yake na vijiji vyake; Gaza, na miji yake na vijiji vyake; mpaka kijito cha Misri, na bahari kuu na pwani yake.


Basi Wafilisti walikuwa wamelichukua sanduku la Mungu, wakaenda nalo kutoka Ebenezeri hadi Ashdodi.


Lakini mkono wa BWANA ulikuwa mzito juu ya watu wa Ashdodi, akawaangamiza, akawapiga kwa majipu, huko Ashdodi na mipakani mwake.