Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 12:13 - Swahili Revised Union Version

mfalme wa Debiri, mmoja; na mfalme wa Gederi, mmoja;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

mfalme wa Debiri, mfalme wa Gederi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

mfalme wa Debiri, mfalme wa Gederi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

mfalme wa Debiri, mfalme wa Gederi,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

mfalme wa Debiri; mfalme wa Gederi;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

mfalme wa Debiri, mmoja; na mfalme wa Gederi, mmoja;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 12:13
6 Marejeleo ya Msalaba  

Basi kwa hiyo Adoni-sedeki, mfalme wa Yerusalemu, akatuma ujumbe kwa Hohamu, mfalme wa Hebroni, na kwa Piramu, mfalme wa Yarmuthi, na kwa Yafia, mfalme wa Lakishi, na kwa Debiri, mfalme wa Egloni, akiwaambia,


Kisha Yoshua akarudi, na Israeli wote pamoja naye, hata Debiri; nao wakapigana nao;


kisha akautwaa, na mfalme wake, na miji yake yote; nao wakawapiga kwa makali ya upanga, wakawaangamiza kabisa wote pia waliokuwamo ndani yake; hakumwacha hata mmoja aliyesalia; kama alivyoufanyia Hebroni aliufanyia na Debiri vivyo hivyo, na mfalme wake; kama alivyoufanyia Libna, na mfalme wake.


mfalme wa Egloni, mmoja; na mfalme wa Gezeri, mmoja;


mfalme wa Horma, mmoja; na mfalme wa Aradi, mmoja;


Shaarimu, Adithaimu, Gedera na Gederothaimu miji kumi na minne, pamoja na vijiji vyake.