Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yoshua 12:13 - Swahili Revised Union Version

13 mfalme wa Debiri, mmoja; na mfalme wa Gederi, mmoja;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 mfalme wa Debiri, mfalme wa Gederi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 mfalme wa Debiri, mfalme wa Gederi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 mfalme wa Debiri, mfalme wa Gederi,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 mfalme wa Debiri; mfalme wa Gederi;

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 mfalme wa Debiri, mmoja; na mfalme wa Gederi, mmoja;

Tazama sura Nakili




Yoshua 12:13
6 Marejeleo ya Msalaba  

Basi kwa hiyo Adoni-sedeki, mfalme wa Yerusalemu, akatuma ujumbe kwa Hohamu, mfalme wa Hebroni, na kwa Piramu, mfalme wa Yarmuthi, na kwa Yafia, mfalme wa Lakishi, na kwa Debiri, mfalme wa Egloni, akiwaambia,


Kisha Yoshua akarudi, na Israeli wote pamoja naye, hata Debiri; nao wakapigana nao;


kisha akautwaa, na mfalme wake, na miji yake yote; nao wakawapiga kwa makali ya upanga, wakawaangamiza kabisa wote pia waliokuwamo ndani yake; hakumwacha hata mmoja aliyesalia; kama alivyoufanyia Hebroni aliufanyia na Debiri vivyo hivyo, na mfalme wake; kama alivyoufanyia Libna, na mfalme wake.


mfalme wa Egloni, mmoja; na mfalme wa Gezeri, mmoja;


mfalme wa Horma, mmoja; na mfalme wa Aradi, mmoja;


Shaarimu, Adithaimu, Gedera na Gederothaimu miji kumi na minne, pamoja na vijiji vyake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo