Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 10:38 - Swahili Revised Union Version

Kisha Yoshua akarudi, na Israeli wote pamoja naye, hata Debiri; nao wakapigana nao;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha, Yoshua na Waisraeli wote wakarudi Debiri, wakaushambulia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha, Yoshua na Waisraeli wote wakarudi Debiri, wakaushambulia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha, Yoshua na Waisraeli wote wakarudi Debiri, wakaushambulia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo Yoshua na Waisraeli wote wakageuka na kushambulia Debiri.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo Yoshua na Israeli wote wakageuka na kuushambulia Debiri.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha Yoshua akarudi, na Israeli wote pamoja naye, hata Debiri; nao wakapigana nao;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 10:38
8 Marejeleo ya Msalaba  

na Holoni pamoja na viunga vyake, na Debiri pamoja na viunga vyake;


wakautwaa, na kuupiga kwa makali ya upanga, na mfalme wake, na miji yake yote, na wote waliokuwamo ndani yake; hakumwacha aliyesalia hata mtu mmoja, sawasawa na hayo yote aliyoufanyia huo mji wa Egloni; lakini akauangamiza kabisa, na wote pia waliokuwamo ndani yake.


kisha akautwaa, na mfalme wake, na miji yake yote; nao wakawapiga kwa makali ya upanga, wakawaangamiza kabisa wote pia waliokuwamo ndani yake; hakumwacha hata mmoja aliyesalia; kama alivyoufanyia Hebroni aliufanyia na Debiri vivyo hivyo, na mfalme wake; kama alivyoufanyia Libna, na mfalme wake.


mfalme wa Debiri, mmoja; na mfalme wa Gederi, mmoja;


Kisha akakwea kutoka huko ili kuwaendea wenyeji wa Debiri; jina la Debiri hapo kwanza lilikuwa Kiriath-seferi.


Dana, Kiriath-sana (ambao ni Debiri);


na Holoni pamoja na mbuga zake za malisho, na Debiri pamoja na mbuga zake za malisho;