Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yoshua 1:12 - Swahili Revised Union Version

Tena Yoshua akawaambia Wareubeni, na Wagadi, na hao wa nusu ya kabila la Manase, akasema,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yoshua akawaambia watu wa kabila la Reubeni na Gadi na nusu ya kabila la Manase:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yoshua akawaambia watu wa kabila la Reubeni na Gadi na nusu ya kabila la Manase:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yoshua akawaambia watu wa kabila la Reubeni na Gadi na nusu ya kabila la Manase:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini kwa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase, Yoshua akasema,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini kwa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase, Yoshua akasema,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena Yoshua akawaambia Wareubeni, na Wagadi, na hao wa nusu ya kabila la Manase, akasema,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yoshua 1:12
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na nduguze, mashujaa, walikuwa elfu mbili na mia saba, wakuu wa koo za mababa, ambao mfalme Daudi aliwaweka wawe wasimamizi juu ya Wareubeni, na Wagadi, na nusu kabila la Wamanase, kwa ajili ya kila neno lililomhusu Mungu, na kwa mambo ya mfalme.


Wana wa Reubeni, na Wagadi, na nusu kabila ya Manase, watu mashujaa, wawezao kuchukua ngao na upanga, na kupiga upinde, wenye ustadi katika kupigana vita, walikuwa watu elfu arubaini na nne mia saba na sitini, walioweza kwenda vitani.


Wakati huo Yoshua akawaita Wareubeni, na Wagadi, na hiyo nusu ya kabila la Manase,


naye akawaambia, Ninyi mmeyafuata hayo yote mliyoamriwa na Musa, mtumishi wa BWANA, nanyi mmeisikia sauti yangu katika yote niliyowaamuru mimi;