Yoshua 1:13 - Swahili Revised Union Version13 Likumbukeni neno lile alilowaamuru Musa mtumishi wa BWANA, akisema, BWANA, Mungu wenu, anawapa ninyi raha, naye atawapa nchi hii. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 “Kumbukeni lile jambo ambalo Mose, mtumishi wa Mwenyezi-Mungu, aliwaamuru akisema, ‘Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, atawapa mahali pa kupumzika, na atawapa nchi hii’. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 “Kumbukeni lile jambo ambalo Mose, mtumishi wa Mwenyezi-Mungu, aliwaamuru akisema, ‘Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, atawapa mahali pa kupumzika, na atawapa nchi hii’. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 “Kumbukeni lile jambo ambalo Mose, mtumishi wa Mwenyezi-Mungu, aliwaamuru akisema, ‘Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu, atawapa mahali pa kupumzika, na atawapa nchi hii’. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 “Kumbukeni agizo lile Musa mtumishi wa Mwenyezi Mungu alilowapa: ‘Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, anawapa ninyi utulivu kwa kuwapa nchi hii.’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 “Kumbukeni agizo lile Musa mtumishi wa bwana alilowapa: ‘bwana Mwenyezi Mungu wenu anawapa ninyi raha, naye amewapa nchi hii.’ Tazama suraBIBLIA KISWAHILI13 Likumbukeni neno lile alilowaamuru Musa mtumishi wa BWANA, akisema, BWANA, Mungu wenu, anawapa ninyi raha, naye atawapa nchi hii. Tazama sura |