Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 9:6 - Swahili Revised Union Version

Alipokwisha kusema hayo, alitema mate chini, akafanya tope kwa yale mate. Akampaka kipofu tope machoni,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baada ya kusema hayo, akatema mate chini, akafanyiza tope, akampaka yule kipofu machoni,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baada ya kusema hayo, akatema mate chini, akafanyiza tope, akampaka yule kipofu machoni,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baada ya kusema hayo, akatema mate chini, akafanyiza tope, akampaka yule kipofu machoni,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baada ya kusema haya, akatema mate ardhini, akatengeneza tope kwa mate na kumpaka yule kipofu machoni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baada ya kusema haya, akatema mate ardhini, akatengeneza tope kwa mate na kumpaka yule mtu kipofu machoni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Alipokwisha kusema hayo, alitema mate chini, akafanya tope kwa yale mate. Akampaka kipofu tope machoni,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 9:6
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo macho ya vipofu yatafumbuliwa, na masikio ya viziwi yatazibuliwa.


Akamtenga na mkutano faraghani, akatia vidole vyake masikioni mwake, akatema mate, akamgusa ulimi,


Akamshika mkono yule kipofu, akamchukua nje ya kijiji, akamtemea mate katika macho, akamwekea mikono yake, akamwuliza, Waona kitu?


Yeye akajibu, Mtu yule aitwaye Yesu alifanya tope, akanipaka macho akaniambia, Nenda Siloamu ukanawe; basi nikaenda na kunawa, nikapata kuona.


Nakupa shauri, ununue kwangu dhahabu iliyosafishwa kwa moto, upate kuwa tajiri, na mavazi meupe upate kuvaa, aibu ya uchi wako isionekane, na dawa ya macho ya kujipaka macho yako, upate kuona.