Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 7:33 - Swahili Revised Union Version

33 Akamtenga na mkutano faraghani, akatia vidole vyake masikioni mwake, akatema mate, akamgusa ulimi,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Yesu akamtenga na umati wa watu, akamtia vidole masikioni, akatema mate na kumgusa ulimi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Yesu akamtenga na umati wa watu, akamtia vidole masikioni, akatema mate na kumgusa ulimi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Yesu akamtenga na umati wa watu, akamtia vidole masikioni, akatema mate na kumgusa ulimi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Isa akampeleka yule kiziwi kando, mbali na watu, akatia vidole vyake masikioni mwa yule mtu. Kisha akatema mate na kuugusa ulimi wa yule mtu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Baadaye Isa akampeleka yule kiziwi kando mbali na watu, Isa akatia vidole vyake masikioni mwa yule mtu. Kisha akatema mate na kuugusa ulimi wa yule mtu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

33 Akamtenga na mkutano faraghani, akatia vidole vyake masikioni mwake, akatema mate, akamgusa ulimi,

Tazama sura Nakili




Marko 7:33
8 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo BWANA akaunyosha mkono wake, akanigusa kinywa changu; BWANA akaniambia, Tazama, nimetia maneno yangu kinywani mwako;


Ndipo wakamtemea mate usoni, wakampiga ngumi; na wengine wakampiga makofi,


Wakamcheka sana. Naye alipokwisha kuwatoa nje wote, akamtwaa babaye yule kijana na mamaye, na wale walio pamoja naye, akaingia ndani alimokuwamo yule kijana.


Akamshika mkono yule kipofu, akamchukua nje ya kijiji, akamtemea mate katika macho, akamwekea mikono yake, akamwuliza, Waona kitu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo