Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 9:5 - Swahili Revised Union Version

5 Muda nilipo ulimwenguni, mimi ni nuru ya ulimwengu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Wakati ningali ulimwenguni, mimi ni mwanga wa ulimwengu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Wakati ningali ulimwenguni, mimi ni mwanga wa ulimwengu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Wakati ningali ulimwenguni, mimi ni mwanga wa ulimwengu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Wakati niko ulimwenguni, mimi ni nuru ya ulimwengu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Wakati niko ulimwenguni, mimi ni nuru ya ulimwengu.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Muda nilipo ulimwenguni, mimi ni nuru ya ulimwengu.

Tazama sura Nakili




Yohana 9:5
17 Marejeleo ya Msalaba  

naam, asema hivi, Ni neno dogo sana wewe kuwa mtumishi wangu ili kuyainua makabila ya Yakobo, na kuwarejesha watu wa Israeli waliohifadhiwa; zaidi ya hayo nitakutoa uwe nuru ya mataifa, upate kuwa wokovu wangu hata miisho ya dunia.


Lakini kwenu ninyi mnaolicha jina langu, jua la haki litawachomozea, likiwa na uwezo wa kuponya katika miale yake; nanyi mtatoka nje, na kuchezacheza kama ndama watokapo mazizini.


Watu wale waliokaa katika giza Wameona mwanga mkuu, Nao waliokaa katika nchi na uvuli wa mauti Mwanga umewazukia.


Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji ukiwa juu ya mlima hauwezi kusitirika.


Nuru ya kuwa mwangaza wa Mataifa, Na kuwa utukufu wa watu wako Israeli.


Mimi nimekuja ili niwe nuru ya ulimwengu, ili kila mtu aniaminiye mimi asikae gizani.


Basi Yesu akawaambia tena akasema, Mimi ndimi nuru ya ulimwengu, yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe, bali atakuwa na nuru ya uzima.


Kwa sababu ndivyo tulivyoamriwa na Bwana, Nimekuweka uwe nuru ya Mataifa, Upate kuwa wokovu hata mwisho wa dunia.


uwafumbue macho yao, na kuwageuza waiache giza na kuielekea nuru, waziache na nguvu za Shetani na kumwelekea Mungu; kisha wapate msamaha wa dhambi zao, na urithi miongoni mwao waliotakaswa kwa imani iliyo kwangu mimi.


ya kwamba Kristo hana budi kuteswa na ya kwamba yeye kwanza kwa kufufuliwa katika wafu atatangaza habari za nuru kwa watu wake na kwa watu wa Mataifa.


Hivyo husema, Amka, wewe usinziaye, Ufufuke katika wafu, Na Kristo atakuangaza.


Na mji ule hauhitaji jua wala mwezi kuuangaza, kwa maana utukufu wa Mungu huutia nuru, na taa yake ni Mwana-kondoo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo