Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 9:10 - Swahili Revised Union Version

Basi wakamwambia, Macho yako yalifumbuliwaje?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, wakamwuliza, “Sasa, macho yako yalipataje kufumbuliwa?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, wakamwuliza, “Sasa, macho yako yalipataje kufumbuliwa?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, wakamwuliza, “Sasa, macho yako yalipataje kufumbuliwa?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakamuuliza, “Basi macho yako yalifumbuliwaje?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakamuuliza, “Basi macho yako yalifumbuliwaje?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi wakamwambia, Macho yako yalifumbuliwaje?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 9:10
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kama vile wewe usipojua njia ya upepo ni ipi, wala jinsi mifupa ikuavyo tumboni mwake mja mzito; kadhalika huijui kazi ya Mungu, afanyaye mambo yote.


Wakamwuliza Baruku, wakisema, Tuambie sasa; ulipataje kuyaandika maneno haya yote kinywani mwake?


akawa akilala na kuondoka, usiku na mchana, nayo mbegu ikamea na kukua, asivyojua yeye.


Nikodemo akajibu, akamwambia, Mambo haya yawezaje kuwa?


Baada ya hayo Yesu alikwenda zake ng'ambo ya Bahari ya Galilaya, nayo ndiyo ya Tiberia.


Yeye akajibu, Mtu yule aitwaye Yesu alifanya tope, akanipaka macho akaniambia, Nenda Siloamu ukanawe; basi nikaenda na kunawa, nikapata kuona.


Basi Mafarisayo nao wakamwuliza tena jinsi gani alivyopata kuona. Akawaambia, Alinitia tope juu ya macho, nami nikanawa, na sasa naona.


lakini jinsi aonavyo sasa hatujui; wala hatujui ni nani aliyemfumbua macho. Mwulizeni yeye mwenyewe; yeye ni mtu mzima; atajisemea mwenyewe.


Basi wakamwambia, Alikutendea nini? Alikufumbua macho jinsi gani?


Wengine wakasema, Ndiye. Wengine wakasema, La, lakini amefanana naye. Yeye mwenyewe alisema, Mimi ndiye.


Lakini labda mtu atasema, Wafu wafufuliwaje? Nao huja kwa mwili gani?