Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 9:9 - Swahili Revised Union Version

9 Wengine wakasema, Ndiye. Wengine wakasema, La, lakini amefanana naye. Yeye mwenyewe alisema, Mimi ndiye.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Baadhi yao wakasema, “Ndiye.” Wengine wakasema, “La! Ila anafanana naye.” Lakini huyo aliyekuwa kipofu akasema, “Ni mimi!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Baadhi yao wakasema, “Ndiye.” Wengine wakasema, “La! Ila anafanana naye.” Lakini huyo aliyekuwa kipofu akasema, “Ni mimi!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Baadhi yao wakasema, “Ndiye.” Wengine wakasema, “La! Ila anafanana naye.” Lakini huyo aliyekuwa kipofu akasema, “Ni mimi!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Wengine wakasema, “Ndiye.” Wengine wakasema, “Siye, bali anafanana naye.” Lakini yeye akawaambia, “Mimi ndiye.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Wengine wakasema, “Ndiye.” Wengine wakasema, “Siye, bali wamefanana.” Lakini yeye akawaambia, “Mimi ndiye.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Wengine wakasema, Ndiye. Wengine wakasema, La, lakini amefanana naye. Yeye mwenyewe alisema, Mimi ndiye.

Tazama sura Nakili




Yohana 9:9
2 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wakamwambia, Macho yako yalifumbuliwaje?


Basi jirani zake, na wale waliomwona zamani kuwa ni mwombaji, wakasema, Je! Huyu siye yule aliyekuwa akiketi na kuomba?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo