Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 9:26 - Swahili Revised Union Version

26 Basi wakamwambia, Alikutendea nini? Alikufumbua macho jinsi gani?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Basi, wakamwuliza, “Alikufanyia nini? Alikufumbuaje macho yako?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Basi, wakamwuliza, “Alikufanyia nini? Alikufumbuaje macho yako?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Basi, wakamwuliza, “Alikufanyia nini? Alikufumbuaje macho yako?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Wakamuuliza, “Alikufanyia nini? Aliyafumbuaje macho yako?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Wakamuuliza, “Alikufanyia nini? Aliyafumbuaje macho yako?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

26 Basi wakamwambia, Alikutendea nini? Alikufumbua macho jinsi gani?

Tazama sura Nakili




Yohana 9:26
7 Marejeleo ya Msalaba  

Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Asije akawa mwenye hekima machoni pake.


Wakamwuliza Baruku, wakisema, Tuambie sasa; ulipataje kuyaandika maneno haya yote kinywani mwake?


Na Waandishi na Mafarisayo walikuwa wakimvizia, ili waone kama ataponya siku ya sabato; kusudi wapate neno la kumshitakia.


Basi wakamwambia, Macho yako yalifumbuliwaje?


Basi Mafarisayo nao wakamwuliza tena jinsi gani alivyopata kuona. Akawaambia, Alinitia tope juu ya macho, nami nikanawa, na sasa naona.


Basi yule mtu akajibu, Kwamba yeye ni mwenye dhambi sijui. Najua neno moja, kuwa mimi nilikuwa kipofu na sasa naona.


Akawajibu, Nimekwisha kuwaambia, wala hamkusikia; mbona mnataka kusikia tena? Ninyi nanyi mnataka kuwa wanafunzi wake?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo