Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Yohana 9:1 - Swahili Revised Union Version

Na alipokuwa akipita alimwona mtu, kipofu tangu kuzaliwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu alipokuwa akipita alimwona mtu mmoja, kipofu tangu kuzaliwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu alipokuwa akipita alimwona mtu mmoja, kipofu tangu kuzaliwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu alipokuwa akipita alimwona mtu mmoja, kipofu tangu kuzaliwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa alipokuwa akipita, akamwona mtu aliyekuwa kipofu tangu kuzaliwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa alipokuwa akipita, akamwona mtu aliyekuwa kipofu tangu kuzaliwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na alipokuwa akipita alimwona mtu, kipofu tangu kuzaliwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Yohana 9:1
12 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo macho ya vipofu yatafumbuliwa, na masikio ya viziwi yatazibuliwa.


Na tazama, vipofu wawili walikuwa wameketi kando ya njia, nao waliposikia ya kwamba Yesu anapita, walipaza sauti, wakisema, Uturehemu, Bwana, mwana wa Daudi!


Yesu alipokuwa akipita kutoka huko, vipofu wawili wakamfuata wakipaza sauti, wakisema, Uturehemu, Mwana wa Daudi.


Akamwuliza babaye, Amepatwa na haya tangu lini? Akasema, Tangu utoto.


Na mwanamke mmoja, ambaye ametokwa na damu muda wa miaka kumi na miwili, [aliyekuwa amegharimiwa mali zake zote kwa kuwapa waganga] asipate kuponywa na mtu yeyote,


Na hapa palikuwa na mtu, ambaye amekuwa mgonjwa muda wa miaka thelathini na minane.


Basi wakaokota mawe ili wamtupie; lakini Yesu akajificha, akatoka hekaluni.


Wanafunzi wake wakamwuliza wakisema, Rabi, ni yupi aliyetenda dhambi, mtu huyu au wazazi wake, hata azaliwe kipofu?


Na huko Listra palikuwa na mtu mmoja, asiyeweza kutumia miguu yake na aliyekuwa kiwete tangu kuzaliwa kwake.


Wenyeji walipomwona yule nyoka akilewalewa mkononi, wakaambiana, Hakosi mtu huyu ni mwuaji; ambaye ijapokuwa ameokoka katika bahari haki haimwachi kuishi.


maana umri wake yule mtu aliyefanyiwa ishara hii ya kuponya ulipita miaka arubaini.


Akamwona mtu mmoja huko, jina lake Ainea, mtu huyo alikuwa amelala kitandani miaka minane; maana alikuwa amepooza.